Mwanao anapaswa kuripoti shuleni siku ya Jumamosi, tar. 7 Februari 2015 saa 3 asubuhi.
KARO:
Mang'ola -- sh. 300,000/- kwa mwaka
Nje ya Mang'ola -- sh. 400,000/- kwa mwaka
NB: KARO INAWEZA KULIPWA KWA AWAMU.
Karo ilipwe kupitia moja ya akaunti zifuatazo:
Exim Bank – Karatu A/C No. 0120005247 Anna Gamazo SS
NBC Bank – Karatu A/C No. 045201010908 Anna Gamazo SS
MICHANGO:
Sh. 165,000/-...
26 Januari 2015
20 Machi 2014
Nafasi za Kidato cha Tano 2014
.gif)
programu ya a-level
Masomo ya kidato cha Tano na Sita shuleni yalianza miaka mitano hivi iliyopita. Mpaka sasa tunatoa michepuo ifuatayo ya sanaa, HGL, HKL, na HGK kukiwa na uwezekano wa kuwa na michepuo ya CBG, EGM na HGE endapo idadi ya wanafunzi wataoomba itawa nzuri.
Matokeo ya shule kwa mitihani...
Written 23:21 by Admin
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)